
Baada ya kuwa kwenye matengenezo kwa muda mrefu sasa studio ya Maneck
ijulikanayo kama “Am Records” imekamilika na inaonekana ipo kwenye
kiwango kizuri ukifananisha na studio nyingine hapa bongo
Studio imebadilika kwa ukubwa na uwezo wa kazi. Pia recording room imekuwa kubwa zaidi ili kuwezesha zaidi ya watu 6 kurekodi kwa wakati moja na kupiga vifaa tofauti.
Very Comfortable Sits zimewekwa studio kwa wale watakao kuwa wakisikiliza ngoma mpya na kurekodi zao.


MANECKY


Studio imebadilika kwa ukubwa na uwezo wa kazi. Pia recording room imekuwa kubwa zaidi ili kuwezesha zaidi ya watu 6 kurekodi kwa wakati moja na kupiga vifaa tofauti.
Very Comfortable Sits zimewekwa studio kwa wale watakao kuwa wakisikiliza ngoma mpya na kurekodi zao.


No comments:
Post a Comment