,

,

Friday, 15 November 2013

MBUNGE WA ARUSHA GODBLESS LEMA AAMUA KUGAWA HADHARANI PICHA CHAFU ZINAZOMDHALILISHA

Mbunge wa Arusha Mjini mh Godbless Lema ameamuwa kugawa hadharani zile picha chafu za kutengeneza zinazomuonyesha mtu mwenye sura inayofanana nae akilawitiwa ambazo zilikuwa zikisambazwa ktk mitandao ya Kijamii na ktk vijiwe mbalimbali hapa Arusha na zingine kwa watu wake wa karibu wakiwemo wakwe zake na baadhi ya Wachungaji na Mashekhe.

Hii imetokea ktk mkutano wa leo unaofanyika ktk viwanja vya Kilombero jijini Arusha.
Picha hizo ni zile za kutengeneza zikimuonyesha mtu mwenye sura inayofanania na yeye akiingiliwa kinyume na maumbile!!

Jambo lililo washangaza wakazi wa Arusha Mjini ambao leo walikuwa ktk mkutano huu,ni hili la Mh Mbunge Lema kumpandisha Jukwaani Mke wake [NEEMA] ambae alikuwa ameambatana nae ili azigawe picha hizo ambazo alikuwa ameziprint kwa wingi,lakini Wananchi waliokuwa kwenye mkutano huo walikataa picha hizo kugawanywa na kusema hazina umuhimu wowote ila zichomwe moto kwa kuwa wanajua ni za kutengeneza wala hazina ukweli wowote.

Baada ya ubishani ndipo mh Mbunge aliamuru kura zipigwe na waliosema picha zisigawanywe walishinda na ikaamuliwa picha zichomwe moto na tukio la kuzichoma likafanyika.
Mh mbunge aliwashukuru wapiga kura wake kwa kuonyesha heshima kwake kwa kukataa picha hizo kugawanywa ktk mkutano huo."Nawashukuru Wana Arusha kwa kuwa mmeonyesha ni jinsi gani mnanipa heshima km mbunge wenu kwa kusema "hapana" tusigawe picha hizi zenye ""Lengo"" la kunidhalilisha!! Nawashukuru sana!! alisema Mh Lema. Mkutano unaendelea........!!

Pamoja na yote haya lakini lazima tukubaiane kuwa Lema ni ""JASIRI" wa aina yake. Hili la picha limemuongezea Umaarufu na Kujiamini zaidi,sasa sijui maadui wake wa Kisiasa[Samson Mwigamba na wenzie] Watakuja tena na Mbinu ipi maana hii imewaumbua sana!! Fikiri mtu unatengeneza picha za kumuonyesha akilawitiwa na wewe kusambaza kwa siri lakini yeye mwenyewe anaamuwa kusambaza hadharani. Embu fikiri!!
Lema alisema kuwa aliamuwa kwenda kwa wale wanaochapa picha kwenye matairi ya gari na kuwaomba wamtengenezee Kava yenye picha hiyo na maneno yasemayo ""MBUNGE WA ARUSHA MJINI AKILAWITIWA""ili aweke kwenye gari lake lakini walikataa!! Nani mwenye ujasiri km huo?

Chanzo. Sokoinei JF expert member

No comments:

Post a Comment