,

,

Saturday, 6 June 2015

SAFARI YA MSOTO NA MAFANIKIO YA MILLARD AYO WA CLOUDS FM



  Image result for millard ayo pictures



Millard Afrael Ayo alizaliwa Arusha January 26 akiwa ni mtoto wa kwanza kwenye famili ya watoto wanne ya Afrael Ayo ambae ni mmeru wa Akheri Tengeru, ni mfanyabiashara na mama Mary Ayo ni mwalimu.

Baada ya mama yake mzazi kuona uharaka wa uelewa wa Millard, alimuanzisha shule akiwa mdogo sana na hatimae kumaliza elimu ya msingi akiwa na miaka 12 tu, akamaliza form four akiwa na miaka 16 mwaka 2002, sehemu zote hizo yeye ndio alikua mdogo kuliko wote darasani kuanzia Patandi Primary School Tengeru, Akeri Secondary School na Mbezi beach high school.

Wakati akisubiri majibu, Millard alijiunga na Arusha College of Electronics na kusomea ufundi wa kutengeneza satelitte dish, tv deck na radio masomo ambayo aliyamaliza na aliyasoma kwa sababu ilikua ni kazi ya pili aliyoipenda, baada ya hapo mama yake mzazi alishawishiwa na marafiki zake ili Millard arudishwe shule kuendelea na masomo ya sekondari kitu ambacho alikikubali lakini hakikua na mapokezi mazuri kwa Millard kwa sababu yeye alihitaji kufanya kitu kingine kwa wakati ule.

Mambo yalibadilika pale uncle wake aitwae Gabriel aliekua Marekani aliporudi Tanzania na kumshawishi mama Millard amuache mtoto afanye kile anachotaka na anachokipenda, hapo ndipo Millard akapata nafasi ya kwenda kujiunga na East Africa Training Institute kusomea utangazaji na uandishi wa habari mwaka 2004.

Baada ya mwaka mmoja Millard alijiunga na TVZ Zanzibar kwa muda wa miezi mitano na akarejea Dar es salaam April 2005 kutafuta kazi baada ya hali kuwa ngumu kwenye familia na kukosa pesa kwa ajili ya kujiendeleza na masomo.

Alifanikiwa kupata kazi May 23 2005 kwenye kituo cha Wapo Radio 98.0 ambayo aliambiwa hatolipwa kwa sababu kanisa lililokua linamiliki radio hiyo halina pesa ila kwa sababu alikua na njaa ya maisha na kazi ilibidi aifanye kama ameajiriwa, kazi ilikua jumatatu mpaka jumamosi kuanzia saa mbili asubuhi huku kazi yake kubwa aliyopangiwa ni kukusanya habari za bei za bidhaa na hali ya usafi kwenye masoko Dar es salaam, pia kwenda kitengo cha MOI Muhimbili hospitali kuchukua habari za majeruhi na vifo vya ajali mbalimbali.

Kutokana na jitihada hizo Millard alianza kulipwa shilingi elfu tano kwa wiki mwezi wa pili baada ya kazi hivyo akawa na mshahara wa elfu 20 kwa mwezi, mshahara ambao uliongezeka na kufikia elfu 20 kwa mwezi kwenye mwaka wa tatu na wa mwisho akiwa Wapo Radio.

Baada ya hapo Millard alijiunga na ITV/Radio One mwaka 2008 ambako alisikika kwenye vipindi mbalimbali lakini MILAZO 101 na habari za michezo ITV ndio vilimpa umaarufu mpaka November 2010 alipojiunga na Clouds FM/TV na kuanza kusikika kwenye kipindi cha AMPLIFAYA december 6 2010 na baadae kukabidhiwa CLOUDS FM Top 20 June 2013.

Mpaka sasa Millard Ayo ni mmiliki wa tuzo 4 ikiwemo ya Mtangazaji bora 2006 kutoka Tanzania Radio Awards, Website bora 2012 kutoka Vodacom Tanzania na African Stars, na moja ni ya heshima akiwa mwandishi pekee kutunukiwa kutoka kwenye familia ya Marehemu mwigizaji Steven Kanumba.

Kipindi cha AMPLIFAYA pamoja na website yake ya millardayo.com ndio vilivyofanya ukubwa wa jina lake uongezeke.

 Image result for millard ayo pictures


Kitu ambacho watu wengi hawakifahamu, kipaji cha Millard Ayo kilionekana kwanza na aliyekua mtangazaji wa TBC1 Joseph Msami ambae kwa wakati huo ndio aliona uwezo wa Millard na kumshawishi boss wa Wapo radio kutoa ruhusa ya Millard kuingizwa studio kuwa mtangazaji na sio tena ripota.

Mtu wa pili ambae ndio alizidi kumnyanyua Millard kiutangazaji ni Godwin Gondwe ambae alimuona Millard toka akiwa Wapo Radio, kwanza ndio alikua mtu wa kwanza kumpa Millard dili la kurekodi tangazo la radio la bei kubwa 2007 toka ameanza utangazaji, lilikua la laki moja na nusu za Kitanzania na ndio ilikua pesa kubwa Millard kuwahi kulipwa kwa kazi ya mikono yake toka azaliwe, na ni pesa kubwa kuliko hata mshahara wake kwa mwezi wakati huo ambao ulikua shilingi elfu sitini.

Shukrani za pekee kwa Reginald Mengi, Joyce Muhavile, Julius Nyaisanga, Deogratius Rweyunga, Abdallah Mwaipaya na Isack Gamba ambao walikua kama wazazi/marafiki wakati Millard akiwa ITV, pamoja na kwamba kwa sasa hayupo ITV lakini urafiki wao haujaisha na Millard amekua balozi wao mzuri

Watu wengine waliomfikisha Millard hapa alipo kwa kiasi kikubwa ni Gardner G Habash ambae wakati Millard akiwa Wapo Radio alimsaidia sana kumpa nafasi ya kusikilizwa Clouds FM ambako alipata kazi ya kuanza na kipindi cha gospel lakini wiki hiyohiyo ndio akaitwa ITV, Reuben Ndege nae alicheza kwenye uwanja mkubwa zaidi kumsuka Millard Ayo alipojiunga na Clouds FM na alijaribu sana kumshawishi Millard kujiunga nao wakati akiwa Radio One, kiukweli siku zote amekua msaada mkubwa wakati wote na supporter mkubwa kwa Millard.

Sebastian Maganga ambae ni mkuu wa vipindi Clouds FM amekua msaada mkubwa sana kwa Millard Ayo, mshauri na hata ndugu ambae ni msikilizaji mzuri sana pale Millard anapozungumza nae na ndio alipendekeza Millard kuchukuliwa Radio One wakati huo.

Ruge Mutahaba amekua boss, kaka, mshkaji na mshauri wakati wote kwa Millard Ayo, kwa kiasi kikubwa pamoja na kwamba alitoa idhini ya Millard kujiunga na familia aliyokua anaipenda kwa zaidi ya miaka 10, amekua ni msaada mkubwa sana kwa Millard, kuna vitu vingi Millard alikua anasema hawezi lakini Ruge amempa neno na kumpa nguvu kwamba anaweza na ndio mafanikio ya Millard yameanza kuonekana hapo.

Big Boss Joseph Kusaga ambae ndio MD wa Clouds FM, nae amekua mshkaji, boss na kaka kwa Millard Ayo, nguvu ya neno lake kwamba ‘i’am proud of you’ pekee ndio linampa Millard Ayo nguvu kubwa ya kujituma zaidi na kutumia saa kadhaa kuandaa vipindi vyake siku zote na kujituma zaidi.


Thursday, 4 June 2015

BIOGRAPHY: Yemi Alade (@yemialadee)

yemi-alade
Yeti Eberechi Alade (born March 13th, 1989) is an award-winning Nigerian afro pop/R&B artiste, song-writer, composer, actress and entertainer. She is popularly referred to as the “ghen ghen babe” and “the Yoruba-Ibo girl” by virtue of her electrifying stage-craft, music, edgy and un-matched style, evolving African style and her bi-tribal descent. Yemi Alade began making music professionally in 2005 when she was the lead of a girl group called Noty Spices managed by Storm Management. Afterwards she entered the maiden edition of the Peak Talent Show in 2009 and went on to win the competition based on her talent as a singer and performer under the supervision of Bayo Omisore. Her debut single “Fimisile” featuring eLDee became a radio hit accompanied with an engaging music video which introduced her officially as a musical force and gained her fans across the continent.
YemiAlade2
In mid-2012 Yemi Alade signed a deal with Effyzzie Music Group and started working with hit producers DJ Klem, D’tunes, E-Kelly, Sizzle Pro, Fliptyce and renowned South African producer Garth. Shortly afterwards she released her successful single ‘Ghen Ghen Love’ which was produced by the iconic OJB Jezreel. ‘Ghen Ghen Love’ became a hit topping numerous radio and video charts across Africa. She was also featured on singer Dipp’s album on the track ‘Rock Ur Body’ and the song. In the last quarter of 2013, Yemi Alade shocked and broke records with her single ‘Johnny’ produced by Selebobo and following the video release in March 2014 ‘Johnny’ became an international smash hit as the single dominated , topped music charts and became an anthem in countries like Tanzania, Kenya, Ghana, South Africa, Liberia, Uganda, Zimbabwe, The United Kingdom and more. Yemi Alade has performed across the globe sharing the stage and songs with Mary J. Blige, Shina Peters, M.I, Wizkid among others.

FidoVato ft Dully Sykes – Survivors Video+Audio Coming Soon

shot0019

shot0039  

Dullah wa PLANET BONGO Kuwaaga Watazamaji wake...Hapatakuwa na Kipindi hicho Tena


Kile kipindi bora kabisaa cha burudani ambacho kilikuwa kikiruka kila siku ya Jumamosi kuanzia saa Nne kamili asubuhi mpka saa sita mchana, Jumamosi hii kinafikia tamati na hakitosikika tena Jumamosi, akipiga stori na Power Jams ya East Africa Radio

wa kipindi hicho Dullah alimaarufu kama Mjukuu amesema kuwa yeye amekua mtangazaji wa kipindi hicho huu mwaka wa saba lakini anasikitika kuachana na kipindi hicho, sababu anatambua kuwa vijana wengi walikuwa wakikifuatilia na kukisikiliza ila hana namna zaidi ya kuwaaga.

"Jumamosi hii Planet Bongo itakuwa ndiyo show ya mwisho kabisaa, Mjukuu wa Ambua ni mwaka wa saba sasa nimekuwa nikiishi nayo hiyo show naamini kabisaa ni stori mbaya hizi sababu mashabiki waliipenda na kila Jumamosi ni show iliyokuwa ikisikilizwa sana asubuhi. Nachoomba mashabiki wangu wasikilize Show ya mwisho wa Planet bongo ili tuagane vizuri hivyo kuna vitu fulani vizuri kama Suprise ambavyo vitakuwepo siku hiyo."

FAHAMU HISTORIA FUPI YA JUX; MSANII MAHIRI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA (RNB)

Juma Mussa, a Tanzanian RnB singer that records under the mononym Jux was born in 1989 and grew up in Dar es Salaam, Tanzania. Jux started doing music in 2005 by the age of 16 doing a rap kind of music.
In 2008 Jux joined Cyril Kamikaze and Nigga Flo, of the group ‘Wakacha”,becoming the vice president of the group. In the end of that year Jux decided to record his first solo track,working with A.M record label, where he got persuaded to change his Rap style of music and turn to RnB. Under producer Manecky, Jux’s first RnB single that goes by the name “Nimedata” was recorded and released that year, which did surprizingly well than he had expected.

The single was then followed by a number of tracks from Wakacha such as facebook gal, here we go and mimi na wewe, with Jux as the group’s lead singer. Jux has also released a number of hit singles such as “Napata raha”, “Sipati karaha” and “Mwambie yeye” produced by Manecky, “Uzuri wako” ,  “Nitasubiri” and ''sisikii" produced by Bob Manecky, which is doing well in the music charts; both under the A.m record label.
So far, jux has worked with a number of artists such as Kamikaze, Mabeste, Stamina, Vanessa Mdee, M-Rap, Mo Racka, Gosby and Weusi .
Over the years Jux has not only established him self as an Rnb singer but also a fashion icon in the music industry with his fine sense of fashion and swag.