Akiwa mchezaji wa zamani wa
timu ya vijana ya AC MILAN, soka la Pierre Emerick Aubameyang lilianza
kuchomoza baada ya kujiunga na klabu ya Saint Etienne kwa mkataba wa
kudumu mnamo mwaka 2011.
Victor Moses ni mchezaji
mwenye umri wa miaka 22, ambaye kwa sasa anachezea klabu yake ya nne ya
Liverpool baada ya kuhama kwa mkopo kutoka klabu ya Chelsea
Akiwa mchezaji wa timu ya
Chelsea ya England kwa miaka saba, John Mikel Obi amecheza mechi 187 na
kushinda kombe kadhaa, likiwemo la ubingwa wa Ligi Kuu ya England
Matunda ya mwanasoka
Jonarthan Pitroipa kuibuka kuwa 1 wa watakao wania tuzo ya BBC
yalionekana hasa baada ya kuanza kwa michuano ya kombe la mataifa barani
Afrika
No comments:
Post a Comment