Wednesday, 20 November 2013

HIZI NI HATUA TISA ZINAZOKUWEZESHA KUUFANYA MWILI WAKO UZIDI KUWA MZURI NA MUONEKANO WENYE MVUTO.

1. Kuwa mrembo haimanishi kubadili uhalisia wako. jaribu kutokubadili uhalisia wako wa ngozi
 4. Hakikisha unajua make up gani inakufaa na itayowezakwenda na ngozi yako
6.Jua nyakati za uvaaji wa mavazi yako. sio kuvaa tuu kwa sababu nguo ni ya bei ghali
7...........jifunze namna ya kutembea kwa maringo yanayoendana na mavazi unayovaaa.8. Marashi ni kitu muhimu katika mwili wako ila chagua marashi yenye nakshi na harufu nzuuri.



9. N mwisho kabisa jisikie mwenye furaha na onekana mwenye tabasamu la mafanikio kila mara kwani huutengeneza uso wako katika hali nzuurin kabisa.
Ukizifuata hatua hizi Tisa zitakusaidia kuufanya urembo wako uwe mzuri zaidi na wenye kuvutia.



No comments:

Post a Comment