Fahamu hii post haijaonekana kwenye account ya Nisher kwa sasa ila watu wanaofatilia account yake ta facebook, instagram na whatsup wanasema ilikuwepo kote na ameitoe hivi karibuni.
Tunafahamu kuwa Nisher ameonekana kama Replacement ya Adam Juma au kimbilio la wasanii wanapotaka video bora kwa sasa hapa Tanzania baada ya Adam kusitisha kazi hii. Ila pia wasanii wamekuwa wakienda sana Kenya kufanya kazi na Ogopa kitu kinachopelekea mashabiki kuona bado nafasi ya Adam haijazibwa.
Baada ya hii post shabiki wa Nisher alitia neno hapo kuhusu ubora wa Nisher.
Kwenye instagram account inayoaminika kuwa ni ya Adam Juma, director
bora wa video na kazi za wasanii Tanzania kumekuwa na post yenye
muonekano wa saini ya director Nisher ikiwa na maneno haya. "I m Not
Next Level, I M A New Game' huku tukijua kuwa brand name ya Adam Juma
inayompa heshima kila siku kwa kazi bora ni Next Level. Fuatilia Hapa

No comments:
Post a Comment