,

,

Tuesday, 3 December 2013

Ney wa Mitego Aanika mamilioni aliyoingiza kipindi cha Fiesta Mwaka huu..!!

Ney wa mitego amefunguka jana kupitia kipindi cha Amplifaya cha clouds fm kuwa amefanikiwa kuingiza kiasi cha mamilioni ya shilingi katika show za fiesta zinazoongozwa clouds, Ney wa mitego amesema hayo  wakati huu wa kutimiza miaka 14 ya clouds fm alipokuwa akihojiwa. Ney "alisema Nimefanikiwa kuingiza zaidi ya milioni 24 za kitanzania katika msimu wa fiesta wa mwaka huu"

No comments:

Post a Comment