NEWS, ENTERTAINMENT, EVENTS, LIFE STYLE, FASHION, PHOTOS, INSPIRATION. GOSSIP
,
Sunday, 1 December 2013
MSANII TID ATUPWA MAHABUSU KWA KOSA LA KUMPIGA NA KUMJERUHI DEMU WAKE
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' yupo
mahabusu katika Kituo cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya
kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi msichana anayedaiwa kuwa ni demu wake mariamNnauye
No comments:
Post a Comment