,

,

Saturday, 8 November 2014

Mdogo wake na Kim Kardashian, Kendall Jenner anatamani Penzi la Chris Brown, huenda akampiku Karrueche Tran

Mdogo wake na Kim Kardashian, Kendall Jenner anadaiwa kumzimikia Chris Brown.
1415395842516 (1)
Kuanzia Kulia: Trey Songz, Kendall Jenner, Chris Brown na Kyle Jenner
Model huyo mwenye miaka 19, amekuwa akionekana kwenye picha akila bata na staa huyo miezi ya hivi karibuni na anaamini kuupeleka uhusiano wao kwenye hatua ya juu zaidi. Anasemekana kufanya kila awezalo kufanikisha hilo na anadaiwa kuongea naye kwenye simu mara kwa mara.
1415395842516
“Humtumia Chris selfies zake za kuvutia mara kwa mara,” mtu mmoja wa karibu ameliambia jarida la Uingereza, Heat. “Kendall ameoza kwa Chris – anasema anampenda mno Chris. Anasema amekuwa dhaifu kwake na kwamba wametokea kupatana sana.”
Hata hivyo hivyo dada yake, Kim Kardashian anadaiwa kutofurahishwa na anachokisikia. Chris aliwahi kumpiga mpenzi wake wa zamani, Rihanna, amewahi kukaa rehab na jela na kuwa na uhusiano kwa wakati mmoja tena na Rihanna huku akiwa na mpenzi Karrueche Tran.
Kendall anadaiwa kuvutiwa na uhusiano wa Kim na mumewe Kanye West na yeye pia anataka kuwa na boyfriend maarufu.

PICHA ZA MREMBO LILIAN KAMAZIMA ALIYEKUWA MISS TZ NO.2,2014, ATANGAZWA RASMI KUSHIKILIA NAFASI YA MISS TZ BAADA YA ALIYEKUWA MISS TZ SITTI MTEMVU KUJIUZU

 

 

PICHA, ALI KIBA KWENYE GAZETI LA KITANGOMA

Baada ya kutangaza kurudi kwenye game la bongo fleva na kuzima kiu za mashabiki wengi, Ali Kiba amekuwa Ontop kwenye interview nyingi za vyombo tofauti vya habari. Ali Kiba amefanyiwa mahojiano na Jarida la Kitangoma.
 

Tuesday, 4 November 2014

PICHA ZA UTUPU ZA MSANII MAARUFU WA UGANDA DESIRE LUZINDA ZAVUJA MTANDAONI.

MKANDA HUO WENYE DAKIKA KUMI UMEVUJISHWA NA MPENZI WA MSANII HUYO ANAEDAI AMECHOSHWA NA TABIA ZAKE ZA UCHEPUKAJI ZA MPENZI WAKE HUYO.